Swali: Ni ipi hukumu ya kuapa kwa Aayah za Allaah?
Jibu: Hapana vibaya akiapa kwa Qur-aan, kwa sababu ni maneno ya Allaah. Akiapa kwa Aayah za Allaah, hali ya kukusudia Qur-aan, hapana vibaya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24653/حكم-القسم-بايات-الله
- Imechapishwa: 21/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related

Hakutazamwi nia ya mtamkaji talaka isipokuwa ya kinaya
https://www.youtube.com/watch?v=OcsKBXCaqV0 Swali: Ikiniteleza nikaapa kwa asiyekuwa Allaah pasina kukusudia, je mimi nitakuwa mwenye madhambi kwa hilo? Na lipi ni kubwa; kufanya hivyo au Zinaa na kunywa pombe? Jibu: Mwenye kufanya hivyo kakusudia kuapa kwa Talaka (na si kwa asiyekuwa Allaah). Mtu akiapa kwa Talaka, je Talaka inapita au inakuwa ni…
In "´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan"
Katika hali hii hapana neno kuingia chooni na Aayah za Qur-aan
Swali: Niliingia choo cha nyumbani kwangu hali ya kuwa na baadhi ya karatasi zilizo na utajo wa Allaah na Aayah za Qur-aan. Je, napata dhambi kwa hilo? Jibu: Imechukizwa kuingia chooni na kitu kilicho na utajo wa Allaah. Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alipokuwa anataka…
In "Kuwa na heshima juu ya Qur-aan na Hadiyth"
Aayah za Qur-aan ndani ya chombo kwa lengo la kujitibu
Swali: Je, inafaa kuandika baadhi ya Aayah za Qur-aan tukufu, kama mfano wa Aayah ya Kursiy, katika vyombo vya chakula kwa lengo la kujitibu kwazo? Jibu: Tunapasa kujua kuwa Kitabu cha Allaah (´Azza wa Jall) ni kitukufu na kimetakasika zaidi kutokamana na kukitweza na kukidhalilisha katika kiwango hichi. Ni vipi…
In "Kuwa na heshima juu ya Qur-aan na Hadiyth"