Swali: Ni ipi hukumu ya kuanza kwa jina la Allaah katika Khutbah ya ijumaa kisha baada ya hapo ndio akamhimidi Allaah?
Jibu: Hilo halina msingi. Haikupokelewa kwamba Khutbah ya ijumaa inaanza kwa kutaja jina la Allaah. Hatutakiwi kuzusha kitu kutoka vichwani mwetu. Inatakiwa kuanza kwa kumhimidi Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 11/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuanza kwa jina la Allaah katika Khutbah ya ijumaa kisha baada ya hapo ndio akamhimidi Allaah?
Jibu: Hilo halina msingi. Haikupokelewa kwamba Khutbah ya ijumaa inaanza kwa kutaja jina la Allaah. Hatutakiwi kuzusha kitu kutoka vichwani mwetu. Inatakiwa kuanza kwa kumhimidi Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 11/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuanza-khutbah-ya-ijumaa-kwa-jina-la-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket