Swali: Je, inajuzu kuandika majina ya Allaah kwa mkono wa kushoto? Mimi siwezi kuandika isipokuwa kwa mkono huo tu.
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni mwenye kupewa udhuru. Lakini lililo Sunnah kwa ambaye yusalama ni kuandika na mkono wa kulia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.binbaz.org.sa/noor/326
- Imechapishwa: 05/12/2016
Swali: Je, inajuzu kuandika majina ya Allaah kwa mkono wa kushoto? Mimi siwezi kuandika isipokuwa kwa mkono huo tu.
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni mwenye kupewa udhuru. Lakini lililo Sunnah kwa ambaye yusalama ni kuandika na mkono wa kulia.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.binbaz.org.sa/noor/326
Imechapishwa: 05/12/2016
https://firqatunnajia.com/kuandika-na-mkono-wa-kushoto/