Ni mamoja awe peke yake au na kundi la wanawake. Ni mamoja kuaminiwe fitina au isiaminiwe. Kwa sababu Hadiyth imetaja kwa kuachia na imekuja kwa njia ya kuenea. Kwa hivyo si halali kwa mwanamke kusafiri pasi na Mahram.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (14) http://binothaimeen.net/content/6788
- Imechapishwa: 05/02/2021
Ni mamoja awe peke yake au na kundi la wanawake. Ni mamoja kuaminiwe fitina au isiaminiwe. Kwa sababu Hadiyth imetaja kwa kuachia na imekuja kwa njia ya kuenea. Kwa hivyo si halali kwa mwanamke kusafiri pasi na Mahram.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (14) http://binothaimeen.net/content/6788
Imechapishwa: 05/02/2021
https://firqatunnajia.com/kuaminiwe-fitina-juu-ya-mwanamke-kusafiri-peke-yake/