Swali: Ikiwa aibu inapatikana kwa mume, kama kuwa na ukoma na mwanamke hakujua hilo. Je, ana haki ya kuomba Talaka?
Jibu: Ndio. Haya ndio mliyosikia katika Hadiyth tulizozifafanua. Ya kwamba inapobainika kwa mke au mume ya kuwa ana ukoma na hakujua hilo, ana khiyari ya kuachana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10064
- Imechapishwa: 04/03/2018
Swali: Ikiwa aibu inapatikana kwa mume, kama kuwa na ukoma na mwanamke hakujua hilo. Je, ana haki ya kuomba Talaka?
Jibu: Ndio. Haya ndio mliyosikia katika Hadiyth tulizozifafanua. Ya kwamba inapobainika kwa mke au mume ya kuwa ana ukoma na hakujua hilo, ana khiyari ya kuachana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10064
Imechapishwa: 04/03/2018
https://firqatunnajia.com/kuachana-kutokana-na-aibu-inayoonekana-kwa-mume-au-mke-baada-ya-ndoa/