Swali: Ikiwa aibu inapatikana kwa mume, kama kuwa na ukoma na mwanamke hakujua hilo. Je, ana haki ya kuomba Talaka?
Jibu: Ndio. Haya ndio mliyosikia katika Hadiyth tulizozifafanua. Ya kwamba inapobainika kwa mke au mume ya kuwa ana ukoma na hakujua hilo, ana khiyari ya kuachana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10064
- Imechapishwa: 04/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)