Swali: Mwenye kuacha kuhudhuria Khutbah kwa kukusudia bila ya udhuru swalah yake ni sahihi?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Lakini hata hivyo amepitwa na kheri nyingi na ameinyima si yake kheri kubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 20/10/2017
Swali: Mwenye kuacha kuhudhuria Khutbah kwa kukusudia bila ya udhuru swalah yake ni sahihi?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Lakini hata hivyo amepitwa na kheri nyingi na ameinyima si yake kheri kubwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
Imechapishwa: 20/10/2017
https://firqatunnajia.com/kuacha-kuhudhuria-khutbah-ya-ijumaa-kwa-makusudi/