Swali: Mwenye kuacha kuhudhuria Khutbah kwa kukusudia bila ya udhuru swalah yake ni sahihi?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Lakini hata hivyo amepitwa na kheri nyingi na ameinyima si yake kheri kubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 20/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket