Swali: Mtu ambaye hachinji ´Aqiyqah kwa ajili ya mtoto wake anazingatiwa kuwa anazipa kipaumbele pesa juu ya ´ibaadah?
Jibu: Ndio, akiacha kufanya ´Aqiyqah kwa ajili ya ubakhili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtu ambaye hachinji ´Aqiyqah kwa ajili ya mtoto wake anazingatiwa kuwa anazipa kipaumbele pesa juu ya ´ibaadah?
Jibu: Ndio, akiacha kufanya ´Aqiyqah kwa ajili ya ubakhili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuacha-kuchinja-aqiyqah-kwa-ajili-ya-ubakhili/