Swali 210: Je, mtu aache kazi ili aswali Dhuhaa?
Jibu: Hapana; kwa sababu kazi ni ya lazima na swalah hiyo inapendeza tu. Isipokuwa akiiswali kabla ya kazi au wakati ambao hana kazi ndani yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 89
- Imechapishwa: 01/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 210: Je, mtu aache kazi ili aswali Dhuhaa?
Jibu: Hapana; kwa sababu kazi ni ya lazima na swalah hiyo inapendeza tu. Isipokuwa akiiswali kabla ya kazi au wakati ambao hana kazi ndani yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 89
Imechapishwa: 01/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kuacha-kazi-ya-watu-kwa-ajili-ya-kuswali-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
