Swali: Mwaka uliopita nilitaka kuchinja ng´ombe lakini nikaambiwa kuwa kondoo ndio bora zaidi. Je, kumepokelewa Hadiyth inayofahamisha kuwa kondoo ndio bora zaidi?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichinja kondoo wawili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo. Akiweza kuchinja kondoo ndio bora. Lakini ni sawa pia akimchinja ngamia au ng´ombe. Maswahabah walichinja mara hawa na mara hawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichinja Hadiy katika hijjah ya kuaga ngamia mia kwa ajili ya kujitolea tu. Kwa hiyo akichinja ngamia au ng´ombe ni sawa. Hata hivyo kondoo ndio bora zaidi akiweza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/12102/الدليل-على-افضلية-الاضحية-بالكبش
- Imechapishwa: 13/06/2024
Swali: Mwaka uliopita nilitaka kuchinja ng´ombe lakini nikaambiwa kuwa kondoo ndio bora zaidi. Je, kumepokelewa Hadiyth inayofahamisha kuwa kondoo ndio bora zaidi?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichinja kondoo wawili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo. Akiweza kuchinja kondoo ndio bora. Lakini ni sawa pia akimchinja ngamia au ng´ombe. Maswahabah walichinja mara hawa na mara hawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alichinja Hadiy katika hijjah ya kuaga ngamia mia kwa ajili ya kujitolea tu. Kwa hiyo akichinja ngamia au ng´ombe ni sawa. Hata hivyo kondoo ndio bora zaidi akiweza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/12102/الدليل-على-افضلية-الاضحية-بالكبش
Imechapishwa: 13/06/2024
https://firqatunnajia.com/kondoo-ni-bora-kuliko-ngombe/