Swali: Kampuni inauza magari kisha baadaye wanayakodisha kwa kipindi cha miaka mitatu kwa bei kadhaa. Je, inajuzu?
Jibu: Huku ni kukusanya kati ya kuuza na kukodisha na haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza biashara mbili katika biashara moja. Kwa msemo mwingine ni kwamba wanakushurutisha ukodi ili baadaye waje kukuuzia nayo. Ni kitendo cha haramu na hakijuzu. Lakini wakikuuzia nayo bila kukushurutisha kuikodi ambapo baadaye wakataka kuikodisha kwake, hapana neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 05/02/2022
Swali: Kampuni inauza magari kisha baadaye wanayakodisha kwa kipindi cha miaka mitatu kwa bei kadhaa. Je, inajuzu?
Jibu: Huku ni kukusanya kati ya kuuza na kukodisha na haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza biashara mbili katika biashara moja. Kwa msemo mwingine ni kwamba wanakushurutisha ukodi ili baadaye waje kukuuzia nayo. Ni kitendo cha haramu na hakijuzu. Lakini wakikuuzia nayo bila kukushurutisha kuikodi ambapo baadaye wakataka kuikodisha kwake, hapana neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 05/02/2022
https://firqatunnajia.com/kodi-kwanza-ununue-baadaye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)