736 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kuandika kwa Ibn-ul-Qayyim kitabu ”Zaad-ul-Ma´aad” akiwa safarini?
Jibu: Yeye ndiye kasema hivo kwamba alikitunga akiwa safarini.
Swali 737: Je, haiwezekani kuwa alikianza akiwa safarini na akakikamilisha akiwa mjini mwake?
Jibu: Hakuna kinachozuia mtu kuandika akiwa safarini kwa yule ambaye Allaah amempa elimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 261
- Imechapishwa: 12/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
736 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kuandika kwa Ibn-ul-Qayyim kitabu ”Zaad-ul-Ma´aad” akiwa safarini?
Jibu: Yeye ndiye kasema hivo kwamba alikitunga akiwa safarini.
Swali 737: Je, haiwezekani kuwa alikianza akiwa safarini na akakikamilisha akiwa mjini mwake?
Jibu: Hakuna kinachozuia mtu kuandika akiwa safarini kwa yule ambaye Allaah amempa elimu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 261
Imechapishwa: 12/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kitabu-kilichotungwa-safarini/