Swali: Ni ipi hukumu masomoni kusoma na kugusa Qur-aan wakati mwanamke yuko na hedhi?
Jibu: Haijuzu kwake kugusa Qur-aan moja kwa moja. Wanazuoni wametofautiana juu ya kusoma Qur-aan kwa hifdhi, lakini inafaa akihitajia kufanya hivo kama vile mtihani. Lakini hata hivyo asiguse Qur-aan moja kwa moja – ni lazima iwe nyuma ya kizuizi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 05/02/2022
Swali: Ni ipi hukumu masomoni kusoma na kugusa Qur-aan wakati mwanamke yuko na hedhi?
Jibu: Haijuzu kwake kugusa Qur-aan moja kwa moja. Wanazuoni wametofautiana juu ya kusoma Qur-aan kwa hifdhi, lakini inafaa akihitajia kufanya hivo kama vile mtihani. Lakini hata hivyo asiguse Qur-aan moja kwa moja – ni lazima iwe nyuma ya kizuizi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 05/02/2022
https://firqatunnajia.com/kisomo-cha-qur-aan-kipindi-cha-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
