Swali: Je, analipwa thawabu ambaye anatazama Qur-aan pasi na kutikisa midomo?
Jibu: Hapana. Kisomo kinapelekea kutikisa midomo miwili. Kisomo bila ya kutikisa midomo moiwili hakizingatiwi ni kisomo. Kisomo cha kunyamaza hakihesabiki ni kisomo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Swali: Je, analipwa thawabu ambaye anatazama Qur-aan pasi na kutikisa midomo?
Jibu: Hapana. Kisomo kinapelekea kutikisa midomo miwili. Kisomo bila ya kutikisa midomo moiwili hakizingatiwi ni kisomo. Kisomo cha kunyamaza hakihesabiki ni kisomo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
https://firqatunnajia.com/kisomo-cha-qur-aan-bila-kutikisa-midomo/