Swali: Shari´ah inasemaje kuhusu yale yanayosemwa na baadhi ya wafasiri wa Qur-aan kuhusu kisa cha Tha´labah kinachosema kuwa alikataa kutoa zakaah na hivyo akateremka juu yake na Aayah ndani ya Qur-aan?
Jibu: Hakikuthibiti. Tumezungumzia hilo mwanzoni mwa “as-Swahiyh al-Musnad min Asbaab-in-Nuzuul”, ndugu Saliym Hilaal ana kitabu juu yake, vivyo hivyo ´Adaab Mahmuud al-Hamsh ambaye ni mwenye kuachwa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 175
- Imechapishwa: 15/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)