Swali: Je, Hadiyth inayosema:
“Anaacha chakula chake, kinywaji chake na matamanio yake kwa ajili Yangu.”[1]
si inafahamisha ya kwamba mfungaji anafungua kwa kutokwa na madhiy?
Jibu: Hapana, bali kinachokusudiwa na matamanio ni jimaa. Jengine ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akicheza michezo ya kimapenzi na wake zake akiwa na swawm. Isitoshe kujamiana ndiko kunakotoa matokeo ya matamanio.
[1] al-Bukhaariy (1894) na Muslim (1151) na (164) na tamko ni lake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 125
- Imechapishwa: 02/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abi Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)