Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye kila Ramadhaan anashika mimba na hakuweza kulipa siku anazodaiwa?
Jibu: Ni wajibu kwa mwanamke huyu anayezaa katika Ramadhaan kulipa idadi ya masiku anayodaiwa baada ya Ramadhaan. Akichelewesha kulipa mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine bila ya udhuru wa Kishari´ah basi ni wajibu kulipa pamoja na kulisha masikini kwa kila siku moja atakayofunga. Ikiwa kuchelewesha huko ni kwa udhuru basi ni wajibu kulisha idadi ya yale masiku anayodaiwa peke yake.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/368)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)