Swali: Je, inajuzu kumtolea salamu mtu katika Jahmiyyah?
Jibu: Ukijua kuwa ni katika Jahmiyyah usimsalimie. Kila mtu wa Bid´ah ukijua kuwa ni mtu wa Bid´ah usimtolee salamu. Kadhalika usimsalimie, isipokuwa ikiwa ni kwa ajili ya kumlingania na kumnasihi. Ikiwa hakukubali, achana naye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kumtolea salamu mtu katika Jahmiyyah?
Jibu: Ukijua kuwa ni katika Jahmiyyah usimsalimie. Kila mtu wa Bid´ah ukijua kuwa ni mtu wa Bid´ah usimtolee salamu. Kadhalika usimsalimie, isipokuwa ikiwa ni kwa ajili ya kumlingania na kumnasihi. Ikiwa hakukubali, achana naye.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kila-mtu-wa-bidah-usimtolee-salamu/