Swali: Hadiyth ya Zayd bin Aslam (Radhiya Allaahu ´anhaa) inayosema:
”Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakizungumza msikitini wakiwa hawana wudhuu´.”
swali: Je, inaweza kujengewa hoja ya kwamba swalah ya mamkuzi ya msiktii sio wajibu?
Jibu: Kikosi kikubwa cha wanazuoni wanaona kuwa si wajibu kwa dalili isiyokuwa hii. Kama Hadiyth inayosema:
”Je, kuna nyenginezo zinazonilazimu, ee Mtume wa Allaah?” Akamwambia: ”Hapana, isipokuwa ukijitolea.””
Na yule aliye na hadathi ataswalije? Yeye ni mwenye udhuru. Mwenye hadathi ana udhuru. Ataswalije?
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24751/هل-تحية-المسجد-واجبة
- Imechapishwa: 06/12/2024
Swali: Hadiyth ya Zayd bin Aslam (Radhiya Allaahu ´anhaa) inayosema:
”Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakizungumza msikitini wakiwa hawana wudhuu´.”
swali: Je, inaweza kujengewa hoja ya kwamba swalah ya mamkuzi ya msiktii sio wajibu?
Jibu: Kikosi kikubwa cha wanazuoni wanaona kuwa si wajibu kwa dalili isiyokuwa hii. Kama Hadiyth inayosema:
”Je, kuna nyenginezo zinazonilazimu, ee Mtume wa Allaah?” Akamwambia: ”Hapana, isipokuwa ukijitolea.””
Na yule aliye na hadathi ataswalije? Yeye ni mwenye udhuru. Mwenye hadathi ana udhuru. Ataswalije?
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24751/هل-تحية-المسجد-واجبة
Imechapishwa: 06/12/2024
https://firqatunnajia.com/kikosi-kikubwa-cha-wanazuoni-kuhusu-tahiyyat-ul-masjid/