Swali: Umetaja mifumo ya kale miongoni mwa Murji-ah, Qadariyyah na Khawaarij. Halafu ukaongezea juu ya hilo kwa kusema na mifumo ya leo. Tunaomba utueleweshe ni mifumo yepi hiyo na khatari yake katika jamii?
Jibu: Nyinyi mnaijua. Kila ambao unaenda kinyume na mfumo wa Salaf, basi ni miongoni mwa mifumo inayoenda kinyume. Hakuna haja ya kulenga mfumo fulani. Ninawapa kidhibiti na mtakipachika kwenye mifumo hii: yule ambaye anaenda kinyume na mfumo wa Salaf, achaneni naye. Na yule anayeafikiana nao, shikamaneni naye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_15.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)