Tunatakiwa kutambua kwamba endapo mtu atakusanya Udhhiyah na ´Aqiyqah basi kichinjwa kimoja tu kitamtosheleza baba mwenye nyumba hali ya kuwa amenuia kujifanyia ´Aqiyqah na hivyo akachinja kichinjwa hichi cha Udhhiyah na ´Aqiyqah itakuwa imeingia ndani yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalus-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (6/159)
- Imechapishwa: 01/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket