Tunatakiwa kutambua kwamba endapo mtu atakusanya Udhhiyah na ´Aqiyqah basi kichinjwa kimoja tu kitamtosheleza baba mwenye nyumba hali ya kuwa amenuia kujifanyia ´Aqiyqah na hivyo akachinja kichinjwa hichi cha Udhhiyah na ´Aqiyqah itakuwa imeingia ndani yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalus-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (6/159)
- Imechapishwa: 01/07/2020
Tunatakiwa kutambua kwamba endapo mtu atakusanya Udhhiyah na ´Aqiyqah basi kichinjwa kimoja tu kitamtosheleza baba mwenye nyumba hali ya kuwa amenuia kujifanyia ´Aqiyqah na hivyo akachinja kichinjwa hichi cha Udhhiyah na ´Aqiyqah itakuwa imeingia ndani yake.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalus-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (6/159)
Imechapishwa: 01/07/2020
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-kimoja-kwa-nia-mbili/