Swali: Je, kichinjwa kimoja kwa ndugu wawili wa damu wanaoishi katika nyumba moja pamoja na watoto wao ambapo huchangia chakula na kinywaji chao?
Jibu: Ndio, inafaa watu wa nyumba moja wakatosheka na kichinjwa kimoja. Haijalishi kitu hata kama wanaishi familia mbili. Kwa kufanya hivo wanapata fadhilah za Udhhiyah.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (25/36)
- Imechapishwa: 18/07/2020
Swali: Je, kichinjwa kimoja kwa ndugu wawili wa damu wanaoishi katika nyumba moja pamoja na watoto wao ambapo huchangia chakula na kinywaji chao?
Jibu: Ndio, inafaa watu wa nyumba moja wakatosheka na kichinjwa kimoja. Haijalishi kitu hata kama wanaishi familia mbili. Kwa kufanya hivo wanapata fadhilah za Udhhiyah.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (25/36)
Imechapishwa: 18/07/2020
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-kimoja-kwa-familia-mbili-wanaoshi-pamoja/