Swali: Je, inafaa kwa mtu mwenye janaba kwa mfano kuchinja kuku? Je, wudhuu´ wake unachenguka ikiwa mikono miwili imepakwa hina kwa wanamme au wanawake?
Jibu:
1 – Inafaa kwa mwenye janaba kuchinja kuku na wanyama wengineo wanaoliwa. Hakuna neno kufanya hivo – Allaah (Ta´ala) akitaka.
2 – Wudhuu´ ambaye ametawadha na mikono yake imepakwa hina unasihi. Ni mamoja akiwa mwanamme au mwanamke.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (22/375) nr. (6129)
- Imechapishwa: 05/06/2022
Swali: Je, inafaa kwa mtu mwenye janaba kwa mfano kuchinja kuku? Je, wudhuu´ wake unachenguka ikiwa mikono miwili imepakwa hina kwa wanamme au wanawake?
Jibu:
1 – Inafaa kwa mwenye janaba kuchinja kuku na wanyama wengineo wanaoliwa. Hakuna neno kufanya hivo – Allaah (Ta´ala) akitaka.
2 – Wudhuu´ ambaye ametawadha na mikono yake imepakwa hina unasihi. Ni mamoja akiwa mwanamme au mwanamke.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (22/375) nr. (6129)
Imechapishwa: 05/06/2022
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-cha-mwenye-janaba/