Swali: Ni ipi hukumu ya kichinjwa cha asiyeswali?
Jibu: Haifai kula chakula cha asiyeswali. Kwa sababu sio muislamu. Mwenye kuacha swalah kwa kukusudia ametoka katika Uislamu na hivyo kisiliwe kichinjwa chake mpaka pale atapotubu kwa Allaah (´Azza wa Jall), asimamishe swalah na asimamishe dini yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02-02.mp3
- Imechapishwa: 20/11/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kichinjwa cha asiyeswali?
Jibu: Haifai kula chakula cha asiyeswali. Kwa sababu sio muislamu. Mwenye kuacha swalah kwa kukusudia ametoka katika Uislamu na hivyo kisiliwe kichinjwa chake mpaka pale atapotubu kwa Allaah (´Azza wa Jall), asimamishe swalah na asimamishe dini yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02-02.mp3
Imechapishwa: 20/11/2017
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-cha-asiyeswali-ni-haramu/