Swali: Katika ´iyd mbili muhubiri anakhubutu Khutbah mbili na katika Khutbah ya kwanza analeta Takbiyr tisa na katika Khutbah ya pili analeta Takbiyr saba. Je, hii ni Sunnah?
Jibu: Kama ilivyokuja katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy, Khutbah ni moja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoa Khutbah kisha baadaye akaenda kuwakhutubia wanawake. Khutbah hii haina mwanzo wake Takbiyr; bali inatakiwa kuzungumzia yale yanayounufaisha Uislamu na waislamu.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 377
- Imechapishwa: 05/06/2025
Swali: Katika ´iyd mbili muhubiri anakhubutu Khutbah mbili na katika Khutbah ya kwanza analeta Takbiyr tisa na katika Khutbah ya pili analeta Takbiyr saba. Je, hii ni Sunnah?
Jibu: Kama ilivyokuja katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy, Khutbah ni moja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoa Khutbah kisha baadaye akaenda kuwakhutubia wanawake. Khutbah hii haina mwanzo wake Takbiyr; bali inatakiwa kuzungumzia yale yanayounufaisha Uislamu na waislamu.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 377
Imechapishwa: 05/06/2025
https://firqatunnajia.com/khutbah-ya-iyd-ni-moja-na-haina-takbiyr/