Kuna mapote yaliyopinga kuwepo kwa hodhi ikiwa ni pamoja na Khawaarij na baadhi ya Mu´tazilah.
Ama kuhusiana na Ahl-ul-Haqq ambao ni Ahl-us-Sunnah wanaamini hodhi na ni haki ambayo ni wajibu kuiitakidi na kuiiamini. Dalili juu ya kuthibiti kwa hodhi ni nyingi na zimefikia kiasi cha Hadiyth iliyopokelewa kwa mapokezi mengi [Mutawaatir]. Imepokelewa na Maswahabah thelathini na zaidi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/305)
- Imechapishwa: 21/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)