Swali: Khatwiyb akiswali Sunnah nyumbani kwake na akasoma Qur-aan anakuwa kama ambaye amekurubisha ngamia[1] akianza kufanya hivo ule mwanzoni mwa wakati?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. Kunatarajiwa kwake kheri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa anakuja isipokuwa wakati wa Khutbah. Kunatarajiwa kwake kheri – Allaah akitaka – ikiwa ameizuia nafsi yake kwa sababu ya kufuata Sunnah.
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (708).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23805/كيف-يكون-فضل-التبكير-لخطيب-الجمعة
- Imechapishwa: 03/05/2024
Swali: Khatwiyb akiswali Sunnah nyumbani kwake na akasoma Qur-aan anakuwa kama ambaye amekurubisha ngamia[1] akianza kufanya hivo ule mwanzoni mwa wakati?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. Kunatarajiwa kwake kheri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa anakuja isipokuwa wakati wa Khutbah. Kunatarajiwa kwake kheri – Allaah akitaka – ikiwa ameizuia nafsi yake kwa sababu ya kufuata Sunnah.
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (708).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23805/كيف-يكون-فضل-التبكير-لخطيب-الجمعة
Imechapishwa: 03/05/2024
https://firqatunnajia.com/khatwiyb-anayeswali-na-kusoma-qur-aan-nyumbani-ana-thawabu-za-aliyejitolea-ngamia-siku-ya-ijumaa/