Swali: Tofauti katika misingi ni kinyume na tofauti katika matawi?
Jibu: Ndio. Tofauti katika misingi ni jambo baya zaidi. Ni kama mfano wa tofauti za Jahmiyyah na wengineo pamoja na Ahl-us-Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 19
- Imechapishwa: 06/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)