Swali: Mtu anayefanya kazi ya mjumbe katika benki inayojihusisha na ribaa. Ni ipi hukumu ya kazi yake na mali yake?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kufanya kazi au kushirikiana na benki ya ribaa, wala na yeyote anayejihusisha na ribaa. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ
“Shirikianeni katika wema na uchaji Allaah na wala msishirikiane katika dhambi na uadui.”[1]
Kwa hiyo haifai kwake kuwasaidia kwa jambo lolote wala kuwapa msaada katika shughuli zao.
[1] 05:02
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
- Imechapishwa: 18/09/2026
Swali: Mtu anayefanya kazi ya mjumbe katika benki inayojihusisha na ribaa. Ni ipi hukumu ya kazi yake na mali yake?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kufanya kazi au kushirikiana na benki ya ribaa, wala na yeyote anayejihusisha na ribaa. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ
“Shirikianeni katika wema na uchaji Allaah na wala msishirikiane katika dhambi na uadui.”[1]
Kwa hiyo haifai kwake kuwasaidia kwa jambo lolote wala kuwapa msaada katika shughuli zao.
[1] 05:02
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
Imechapishwa: 18/09/2026
https://firqatunnajia.com/kazi-ya-ujumbe-katika-benki/