Swali: Kuna mwanamke mgonjwa aliyekuwa na hedhi sasa katwaharika. Afanye nini baada ya kutwahirika naye amekatazwa kukoga?
Jibu: Baada ya kukatika damu yake atatayamamu. Mgonjwa akikhofia maradhi yake yasizidi au kudumu, Allaah Kajaalia kutayamamu badala ya kutia Wudhuu (kwa maji).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=450
- Imechapishwa: 04/03/2018
Swali: Kuna mwanamke mgonjwa aliyekuwa na hedhi sasa katwaharika. Afanye nini baada ya kutwahirika naye amekatazwa kukoga?
Jibu: Baada ya kukatika damu yake atatayamamu. Mgonjwa akikhofia maradhi yake yasizidi au kudumu, Allaah Kajaalia kutayamamu badala ya kutia Wudhuu (kwa maji).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=450
Imechapishwa: 04/03/2018
https://firqatunnajia.com/katwaharika-na-hedhi-lakini-daktari-kamkataza-kukoga/