Swali: Kumeza baadhi ya vidonge vya kuzuia mimba kunapimwa na kitendo cha kuchopoa kabla ya kumwaga manii?
Jibu: Hapana, kuna maelezo zaidi. Ni katika sababu. Kunahitaji maelezo. Ikiwa kuna haja ya kufanya hivyo, hakuna tatizo: kama ni kwa sababu ya ugonjwa wake, ugonjwa wa tumbo la uzazi, khatari juu yake au kutokana na watoto kufuatana mno kiasi kwamba hawezi kuwalea vizuri, basi anaweza kutumia baadhi ya vidonge kwa muda fulani. Ikiwa havina madhara na madaktari wamethibitisha kuwa havina madhara na mume wake ameridhia. Kama ilivyo kuwa sababu hazizuii, vivyo hivyo vidonge havizuii, kwani akitaka Allaah jambo litokee, basi litatokea.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31652/ما-حكم-تعاطي-حبوب-منع-الحمل
- Imechapishwa: 12/11/2025
Swali: Kumeza baadhi ya vidonge vya kuzuia mimba kunapimwa na kitendo cha kuchopoa kabla ya kumwaga manii?
Jibu: Hapana, kuna maelezo zaidi. Ni katika sababu. Kunahitaji maelezo. Ikiwa kuna haja ya kufanya hivyo, hakuna tatizo: kama ni kwa sababu ya ugonjwa wake, ugonjwa wa tumbo la uzazi, khatari juu yake au kutokana na watoto kufuatana mno kiasi kwamba hawezi kuwalea vizuri, basi anaweza kutumia baadhi ya vidonge kwa muda fulani. Ikiwa havina madhara na madaktari wamethibitisha kuwa havina madhara na mume wake ameridhia. Kama ilivyo kuwa sababu hazizuii, vivyo hivyo vidonge havizuii, kwani akitaka Allaah jambo litokee, basi litatokea.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31652/ما-حكم-تعاطي-حبوب-منع-الحمل
Imechapishwa: 12/11/2025
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-itafaa-kutumia-vidonge-vya-kuzuia-mimba-kwa-muda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
