626 – Mtu ametumia dawa na hivyo nywele zake zote zikaanguka. Je, inajuzu kupaka rangi nyusi? Vivyo hivyo kwa mwanamke ambaye nyusi zake zimeanguka?
Jibu: Sijui kizuizi, kwa ajili ya kujipamba. Kufanya hivo sio kuchonga nyusi (النمص).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
- Imechapishwa: 14/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
626 – Mtu ametumia dawa na hivyo nywele zake zote zikaanguka. Je, inajuzu kupaka rangi nyusi? Vivyo hivyo kwa mwanamke ambaye nyusi zake zimeanguka?
Jibu: Sijui kizuizi, kwa ajili ya kujipamba. Kufanya hivo sio kuchonga nyusi (النمص).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 222
Imechapishwa: 14/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-inafaa-kupaka-rangi-kwenye-nyusi/