Swali: Ni vipi ikiwa mtu atawawekea wasichana zake doli zinazoigiza maumbile ya Allaah lakini akachoma uso wake?
Jibu: Hayajafikiwa malengo yake akichoma moto uso wake. Isipokuwa ikiwa kama atakata kichwa chake au ikawa ni doli zisizokuwa na kichwa hapo hakuna upinzani na itafaa. Tunachozungumzia ni pale zitakuwa pamoja na vichwa vyao.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24181/حكم-العاب-البنات-التي-فيها-مضاهاة-لخلق-الله
- Imechapishwa: 13/09/2024
Swali: Ni vipi ikiwa mtu atawawekea wasichana zake doli zinazoigiza maumbile ya Allaah lakini akachoma uso wake?
Jibu: Hayajafikiwa malengo yake akichoma moto uso wake. Isipokuwa ikiwa kama atakata kichwa chake au ikawa ni doli zisizokuwa na kichwa hapo hakuna upinzani na itafaa. Tunachozungumzia ni pale zitakuwa pamoja na vichwa vyao.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24181/حكم-العاب-البنات-التي-فيها-مضاهاة-لخلق-الله
Imechapishwa: 13/09/2024
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-doli-zitafaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)