Katika hali hii asome du´aa ya kufungulia swalah katika Rak´ah ya pili?

282 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu ambaye amekuja akamkuta imamu yuko katika Sujuud ajiunge ndani ya swalah kwa kuanza kusoma du´aa ya kufungulia swalah au alete Takbiyr na kusujudu? Ikiwa hatosoma du´aa ya kufungulia swalah aisome katika Rak´ah ya pili?

Jibu: Asisome du´aa ya kufungulia swalah, bali asujudu na kumfuata imamu. Asisome du´aa ya kufungulia swalah katika Rak´ah ya pili.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
  • Imechapishwa: 17/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´