Swali: Mtu anayesikilizia usengenyi ni kama kusengenya?
Jibu: Ndio. Ikiwa humkatazi na kumshauri unashirikiana naye katika dhambi. Kwa sababu ni dhambi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule katika nyinyi atakayeona maovu basi ayakataze kwa mkono wake, asipoweza afanye hivo kwa mdomo wake, asipoweza afanye kwa kuchukia – na hiyo ni imani dhaifu kabisa.”[1]
[1] Ahmad (3/10) na Muslim (49).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)