Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema: “Lau Mtume wetu Aadam asingekula kwenye mti basi tungelikuwa Peponi.” Je, katika maneno haya kuna dhambi?
Jibu: Hili halijuzu. Kusema hivi ni kumsema vibaya Aadam (´alayhis-Salaam). Aadam alitubu kwa Allaah na akamsamehe. Haijuzu kusema hivi.
Ndugu! Iangalie nafsi yako. Hutoingia Peponi bila ya matendo. Huingii Peponi isipokuwa kwa matendo yako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
- Imechapishwa: 26/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema: “Lau Mtume wetu Aadam asingekula kwenye mti basi tungelikuwa Peponi.” Je, katika maneno haya kuna dhambi?
Jibu: Hili halijuzu. Kusema hivi ni kumsema vibaya Aadam (´alayhis-Salaam). Aadam alitubu kwa Allaah na akamsamehe. Haijuzu kusema hivi.
Ndugu! Iangalie nafsi yako. Hutoingia Peponi bila ya matendo. Huingii Peponi isipokuwa kwa matendo yako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
Imechapishwa: 26/04/2018
https://firqatunnajia.com/kama-isingelikuwa-baba-yetu-aadam-basi-tungelikuwa-peponi/