660 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu muumini aliyeruzukiwa na Allaah duniani ni bora zaidi kujitanafasi nafsi yake na familia yake au kutoa kile kilichozidi?
Jibu: Hapana, bali ajitanafasi na atoe matumizi kwa familia yake na watoto wake, lakini bila kufanya israfu. Hivyo ajitanafasi kwa nafsi yake kama Allaah alivyomneemesha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 240
- Imechapishwa: 21/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
660 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu muumini aliyeruzukiwa na Allaah duniani ni bora zaidi kujitanafasi nafsi yake na familia yake au kutoa kile kilichozidi?
Jibu: Hapana, bali ajitanafasi na atoe matumizi kwa familia yake na watoto wake, lakini bila kufanya israfu. Hivyo ajitanafasi kwa nafsi yake kama Allaah alivyomneemesha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 240
Imechapishwa: 21/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kama-allaah-akikuneemesha-basi-jitanafasi-bila-israfu/