Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia kalamu na Subha ya fedha?

Jibu: Ni haramu na haijuzu. Kilichoruhusiwa ni pete ya fedha na mapambo ya dhahabu na panga na mikanda ya dhahabu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
  • Imechapishwa: 04/10/2019