Kafiri anayekunywa pombe katika mji wa waislamu

Swali: Je, kafiri anayekunywa pombe katika nchi ya waislamu anasimamishiwa adhabu licha ya kwamba ni kafiri?

Jibu: Akidhihirisha hilo basi anaadhibiwa na kukatazwa. Lakini asipoyafanya hadharani na akanywa nyumbani kwake na asiyadhihirishe, usende nyumbani kwake kumpekua.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
  • Imechapishwa: 19/07/2024