Swali: Kafiri akisilimu na akaufanya Uislamu wake kuwa mzuri anakuwa walii wa Allaah?
Jibu: Hili halina shaka. Iwapo atasilimu na akaufanya vizuri Uislamu wake anageuka kutoka kuwa adui wa Allaah na kwenda kuwa walii wa Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 19/01/2017
Swali: Kafiri akisilimu na akaufanya Uislamu wake kuwa mzuri anakuwa walii wa Allaah?
Jibu: Hili halina shaka. Iwapo atasilimu na akaufanya vizuri Uislamu wake anageuka kutoka kuwa adui wa Allaah na kwenda kuwa walii wa Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 19/01/2017
https://firqatunnajia.com/kafiri-anaweza-kuwa-walii-wa-allaah/