Swali: Zakaat-ul-Fitwr inawamujibikia mtu ambaye amesilimu katika Ramadhaan?
Jibu: Ndio. Analazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni muislamu. Katika Hadiyth ya Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefaradhisha Zakaat-ul-Fitwr pishi ya tende au pishi ya shayiri kwa mvulana na msichana, muungwana na mtumwa, mdogo na mkubwa katika waislamu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/259)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Zakaat-ul-Fitwr inawamujibikia mtu ambaye amesilimu katika Ramadhaan?
Jibu: Ndio. Analazimika kutoa Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni muislamu. Katika Hadiyth ya Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amefaradhisha Zakaat-ul-Fitwr pishi ya tende au pishi ya shayiri kwa mvulana na msichana, muungwana na mtumwa, mdogo na mkubwa katika waislamu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/259)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/kafiri-aliyesimulia-katika-ramadhaan-analazimika-kutoa-zakaat-ul-fitwr/