Swali: Kuna mtu anatoka na Jamaa´at-ut-Tabliyh na watoto wake hawaswali na anasema kuwa hana cha kuwafanya kwa sababu amewanasihi mara nyingi sana.
Jibu: Akae na watoto wake na apambane nao. Asitoke kwenda kuwafunza watu na akawaacha walioko chini ya mikono yake. Anatakiwa kuanza na wale walioko chini ya mikono yake. Awasimamie na amtake msaada Allaah kisha mamlaka husika. Mamlaka husika haikutengwa isipokuwa kwa kazi kama hizi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-من-يدعو-الناس-واولاده-لا-يصلون
- Imechapishwa: 20/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)