Swali: Raafidhwah khatari yao ni kubwa na imefika. Ni yepi majukumu ya wanachuoni na wanafunzi juu ya kuzindua khatari hii?
Jibu: Ni wajibu kwa wanachuoni kubainisha I´tiqaad batili zinazopingana na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kukiwemo vilevile ´Aqiydah ya Raafidhwah, Mu´tazilah, Jahmiyyah na Khawaarij. Zote hizi ni I´tiqaad potofu na mbovu. Lililo la wajibu ni kuzindua na kubainisha haki na kusambaratisha batili ili muumini awe juu ya ujuzi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 01/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)