Swali: Vipi tutatangamana na familia zetu ambazo zinasherehekea maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Wanasihini. Yule mwenye kuweza kuwakataza awakataze. Ikiwa hamuwezi kuwakataza wanasihini, wabainishieni na watahadharisheni na hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7aqoq-01.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Vipi tutatangamana na familia zetu ambazo zinasherehekea maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Wanasihini. Yule mwenye kuweza kuwakataza awakataze. Ikiwa hamuwezi kuwakataza wanasihini, wabainishieni na watahadharisheni na hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7aqoq-01.mp3
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/jinsi-ya-kutangamana-na-wanafamilia-wanaosherehekea-maulidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
