Swali: Ni ipi dawa kwa mwanamke ambaye amesibiwa na jini na linasema kuwa linampenda mwanamke huyu na ni mke wake pamoja na kujua kuwa hali hii imeendelea kwa miaka miwili sasa?
Jibu: Mwanamke huyu atibiwe kwa Ruqyah ya Kishari´ah. Asomewe Ruqyah ya Kishari´ah kwa wanachuoni waaminifu na watu wenye ujuzi wa Ruqyah ya kishari´ah. Wamsomee Ruqyah kwa kukariri – Allaah akitaka – ataponya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14725
- Imechapishwa: 02/05/2018
Swali: Ni ipi dawa kwa mwanamke ambaye amesibiwa na jini na linasema kuwa linampenda mwanamke huyu na ni mke wake pamoja na kujua kuwa hali hii imeendelea kwa miaka miwili sasa?
Jibu: Mwanamke huyu atibiwe kwa Ruqyah ya Kishari´ah. Asomewe Ruqyah ya Kishari´ah kwa wanachuoni waaminifu na watu wenye ujuzi wa Ruqyah ya kishari´ah. Wamsomee Ruqyah kwa kukariri – Allaah akitaka – ataponya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14725
Imechapishwa: 02/05/2018
https://firqatunnajia.com/jini-la-mahaba-limemwandama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)