Swali: Vipi kuhusu kukusanya kati ya jina la Mtume (صلى الله عليه وسلم) na lakabu yake?
Jibu: Hapana, sahihi ni kwamba hapana vibaya. Hapana vibaya baada ya kufa kwake. Mtu anaweza kusema Muhammad Abul-Qaasim. Hakika hapana vyenginevyo kilichokatazwa ni wakati wa uhai wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24670/حكم-الجمع-بين-اسم-النبي-ﷺ-وكنيته
- Imechapishwa: 22/11/2024
Swali: Vipi kuhusu kukusanya kati ya jina la Mtume (صلى الله عليه وسلم) na lakabu yake?
Jibu: Hapana, sahihi ni kwamba hapana vibaya. Hapana vibaya baada ya kufa kwake. Mtu anaweza kusema Muhammad Abul-Qaasim. Hakika hapana vyenginevyo kilichokatazwa ni wakati wa uhai wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24670/حكم-الجمع-بين-اسم-النبي-ﷺ-وكنيته
Imechapishwa: 22/11/2024
https://firqatunnajia.com/jina-lake-mtume-na-lakabu-yake/