Swali: Vipi kuhusu kukusanya kati ya jina la Mtume (صلى الله عليه وسلم) na lakabu yake?
Jibu: Hapana, sahihi ni kwamba hapana vibaya. Hapana vibaya baada ya kufa kwake. Mtu anaweza kusema Muhammad Abul-Qaasim. Hakika hapana vyenginevyo kilichokatazwa ni wakati wa uhai wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24670/حكم-الجمع-بين-اسم-النبي-ﷺ-وكنيته
- Imechapishwa: 22/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket