Swali: Je, Hadiyth inayosema “Jihaad bora ni neno la haki mbele ya mtawala dhalimu” inaweza kutumiwa juu ya ambaye anamkemea mtawala kwenye vyombo vya mawasiliano?
Jibu: Hapana. Hadiyth inasema “mbele ya mtawala”. Hiyo maana yake ni kwa mdomo mbele yake. Hakusema amkemee juu ya mimbari na kwenye barabara. Ameseme “mbele yake”. Allaah (Jalla wa ´Alaa) alisema kumwambia Muusa na Haaruun:
اذْهَبَا إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ فَقُولَا لَهُ قَوْلًا لَّيِّنًا لَّعَلَّهُ يَتَذَكَّرُ أَوْ يَخْشَىٰ
“Nendeni kwa Fir’awn – hakika yeye amevuka mipaka ya kuasi – mwambieni maneno laini, pengine akawaidhika au akakhofu.”[1]
[1] 20:43-44
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–1434011.mp3
- Imechapishwa: 30/07/2021
Swali: Je, Hadiyth inayosema “Jihaad bora ni neno la haki mbele ya mtawala dhalimu” inaweza kutumiwa juu ya ambaye anamkemea mtawala kwenye vyombo vya mawasiliano?
Jibu: Hapana. Hadiyth inasema “mbele ya mtawala”. Hiyo maana yake ni kwa mdomo mbele yake. Hakusema amkemee juu ya mimbari na kwenye barabara. Ameseme “mbele yake”. Allaah (Jalla wa ´Alaa) alisema kumwambia Muusa na Haaruun:
اذْهَبَا إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ فَقُولَا لَهُ قَوْلًا لَّيِّنًا لَّعَلَّهُ يَتَذَكَّرُ أَوْ يَخْشَىٰ
“Nendeni kwa Fir’awn – hakika yeye amevuka mipaka ya kuasi – mwambieni maneno laini, pengine akawaidhika au akakhofu.”[1]
[1] 20:43-44
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–1434011.mp3
Imechapishwa: 30/07/2021
https://firqatunnajia.com/jihaad-bora-katika-vyombo-vya-mawasiliano/