Je, viungo vya maiti ni safi au najisi?

Swali: Je, jino la miti aliyekufa ni najisi?

Jibu: Jino halipati najisi, ni kama mifupa.

Swali: Je, hilo linahusishwa na mnyama aliyechinjwa tu?

Jibu: Hapana, makusudio ni kwamba najisi huingia pale inapofika katika mwili mzima wa mnyama aliyekufa. Lakini maoni yaliyo karibu zaidi na usawa ni kuwa najisi haiingii katika jino.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31601/هل-عظم-الميتة-طاهر-ام-نجس
  • Imechapishwa: 07/11/2025