Je, mume analipwa thawabu kwa matumizi ya nyumbani asiponuia?

Swali: Je, mwanaume anayewapa matumizi familia yake pasi na kutarajia malipo anaandikiwa kuwa ametoa swadaqah?

Jibu: Kunatarajiwa kwake kheri, kwa sababu imekuja katika baadhi ya mapokezi:

”Matumizi ya mwanaume kwa familia yake ni swadaqah.”

Hata hivyo akitarajia malipo inakuwa ndio kamilifu na bora zaidi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24489/هل-يوجر-الرجل-في-نفقة-اهله-اذا-لم-يحتسبها
  • Imechapishwa: 18/10/2024