Swali: Je, mtu hatakiwi kurudi swalah yake akiswali kwenye kaburi?
Jibu: Sahihi ni kwamba inarudiwa, kwa sababu si mahala aliposwalia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza na kuonya juu ya hili. Msingi wa katazo ni kubatilika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27421/هل-يعيد-الصلاة-من-صلى-في-القبر
- Imechapishwa: 10/04/2025
Swali: Je, mtu hatakiwi kurudi swalah yake akiswali kwenye kaburi?
Jibu: Sahihi ni kwamba inarudiwa, kwa sababu si mahala aliposwalia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza na kuonya juu ya hili. Msingi wa katazo ni kubatilika.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27421/هل-يعيد-الصلاة-من-صلى-في-القبر
Imechapishwa: 10/04/2025
https://firqatunnajia.com/je-mtu-anapaswa-kuirudi-swalah-aliyoswali-karibu-na-kaburi/