Swali: Je, Manabii, wakweli, mashahidi na watoto watahojiwa ndani ya makaburi yao?
Jibu: Allaah ndiye ajuaye zaidi. Kuhusu Manabii dhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwamba watahojiwa, kwa sababu Allaah amewalinda na kuwahifadhi. Ama wengine, basi kila mmoja atahojiwa isipokuwa watoto. Watoto hawakupewa jukumu la kufanya ´ibaadah. Kwa hiyo watoto hawana mahojiano, kwa sababu ´ibaadah haikuwa yenye kuwawajibikia. Lakini wengine kila mmoja atapewa mtihani ndani ya kaburi, isipokuwa Manabii (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam), kwani inajulikana kuwa wao wamekingwa na kukosea.
Swali: Aliyekufa ndani ya kaburi atapewa mtihani?
Jibu: Zitazamwe Hadiyth zilizopokea kuhusu jambo hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31111/هل-يفتن-الانبياء-والشهداء-والاطفال-في-قبورهم
- Imechapishwa: 02/10/2025
Swali: Je, Manabii, wakweli, mashahidi na watoto watahojiwa ndani ya makaburi yao?
Jibu: Allaah ndiye ajuaye zaidi. Kuhusu Manabii dhahiri – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwamba watahojiwa, kwa sababu Allaah amewalinda na kuwahifadhi. Ama wengine, basi kila mmoja atahojiwa isipokuwa watoto. Watoto hawakupewa jukumu la kufanya ´ibaadah. Kwa hiyo watoto hawana mahojiano, kwa sababu ´ibaadah haikuwa yenye kuwawajibikia. Lakini wengine kila mmoja atapewa mtihani ndani ya kaburi, isipokuwa Manabii (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam), kwani inajulikana kuwa wao wamekingwa na kukosea.
Swali: Aliyekufa ndani ya kaburi atapewa mtihani?
Jibu: Zitazamwe Hadiyth zilizopokea kuhusu jambo hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31111/هل-يفتن-الانبياء-والشهداء-والاطفال-في-قبورهم
Imechapishwa: 02/10/2025
https://firqatunnajia.com/je-mitume-watahojiwa-ndani-ya-makaburi-yao/